• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TARATIBU ZA UTEKELEZWAJI WA MIRADI YA BOOST ZIFWATWE-WAZIRI KAIRUKI

Posted on: December 13th, 2022

Na Mwandishi Wetu

Arusha.

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Angellah Kairuki amezitaka Halmashauri zote nchini kufuata maelekezo kwa mujibu wa namna zilivyowafikia na kufuata taratibu za manunuzi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuepuka hoja za ukaguzi kwani kwa kufanya hivyo itakuwa na kurudisha nyuma kazi kubwa inayofanywa na Serikali.

Waziri Kairuki ameyasema hayo leo Disemba 13,2022 alipokuwa akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa timu za utekelezaji wa mradi wa BOOST unaolenga kuboresha mazingira ya ufundishaji na Ujifunzaji ndani ya Nje ya Shule kwa Elimu ya awali na Msingi ngazi ya Mikoa na Halmashauri hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa shule ya sekondari Ilboru ya Mkoani Arusha.

Mhe. Kairuki amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali za Halmashauri ambao pia ni wasimamizi wa miradi kutokwenda kinyume na maelekezo ili kuepuka kupoteza muda na kuleta migogoro na mifarakano isiyo ya lazima.

"Nitoe rai kama unaona kuna namna nzuri ya kutekeleza kabla ya kubadilisha basi Wasiliana na TAMISEMI kwa maelekezo sahihi, kwa maana dhana ya ushirikishwaji ni jambo la muhimu ili kuepuka sintofahamu zisizo za lazima" amesema Waziri Kairuki.

Katika hatua nyingine amezielekeza Halmashauri kufuata taratibu stahiki za manunuzi ili kuepuka hoja za ukaguzi, akiwasisitiza kutekeleza usimamizi bora  wa fedha na mapato.

Naye Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Ndg Ramadhan Kailima amesema kuwa Mradi wa BOOST ni wa miaka 5 (Mitano) 2021/2022 hadi 2025/2026 wenye lengo la kuboresha mazingira ya ufundishaji na Ujifunzaji ndani ya Nje ya Shule kwa Elimu ya awali na Msingi utagharimu kiasi cha Shilingi Trilioni 1.15 kwa ujenzi wa Madarasa 12,000 nchi nzima.

Aidha, Ndg. Kailima amependekeza kila Halmashauri izingatie maelekezo ya mradi huo wa BOOST na kuwa ikiwezekana uwe ajenda ya kudumu kwenye Timu za Uongozi (CMT) pamoja na Baraza la Madiwani.

Awali, Mkurungenzi wa Elimu (TAMISEMI) Ndg. Vincent Kayombo akitoa taarifa fupi ya mradi huo amesema mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo watendaji wa ngazi mbalimbali ili kuwezesha kufikia malengo yanayotakiwa.

Mafunzo hayo ya Mradi huo wa BOOST yanafanyika Mikoa yote 26 na Halmashauri zote 184 shule za serikali na jumla ya Washiriki 274 watapatiwa mafunzo hayo ya siku mbili nchi nzima.



Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPATA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO MWAKA 2020 February 14, 2020
  • MLIPUKO WA KIPINDUPINDU WILAYA YA NGORONGORO May 07, 2018
  • KUUZAJI WA VIWANJA MJI WA WASSO May 11, 2018
  • MUDA WA NYONGEZA JUU YA MAOMBI YA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO June 13, 2018
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO WA KUPOKEA MAONI YA UUNDAJI WA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI

    February 28, 2023
  • NGORONGORO KINARA VIASHIRIA VYA LISHE

    February 20, 2023
  • UTAPIA MLO WASHUKA KWA 0.6% WILAYA YA NGORONGORO.

    February 09, 2023
  • TAASA YAKABIDHI BWENI LA WAVULANA SHULE YA MSINGI OLOLOSOKWAN

    February 04, 2023
  • Tazama zaidi

Video

https://www.youtube.com/watch?v=BMud_vpj7i0
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.