• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

WANANCHI NGORONGORO WAMETAKIWA KUSIMAMA KWENYE NAFASI ZAO KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.

Posted on: December 10th, 2024

Mkuu wa polisi Wilaya ya Ngorongoro Leah Ncheyeki ametoa wito wa kuwataka Wananchi kuwa mstari wa mbele kupinga masuala yanayopelekea ukatili kila mmoja kusimama kwenye nafasi yake ili kuliondoa suala hili kwenye jamii, amesema hayo wakati kikao cha kilele cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kilichofanyika leo tarehe 10 Desemba, 2024 katika ukumbi wa mkutano wa Halmashauri.

Wadau waliohudhuria kikao hicho ni wamiliki wa nyumba za kulala wageni,  maafisa wasafirishaji (bodaboda) na wamiliki wa baa, huku wakitakiwa wao pamoja na wananchi wengine kuungana kwa pamoja kulivaa jukumu la kupinga ukatili wa kijinsia kwenye jamii.


0

Aidha, OCD Leah amesema kuwa suala ukatili wa kijinsia sio kwa watoto na wanawake pekee bali hata wanaume hukutwa na janga hili ni vyema sasa jamii ikaanza kuchukua hatua.


"Chukua hatua ukatili wa kijinsia hauvumiliki hata kidogo, hivyo sisi tuwe sehemu ya kuwalinda watoto,  tulibebe hili kama jukumu letu. Ibada njema huanzia nyumbani hivyo tusimame kwenye nafasi zetu kupinga ukatili wa kijinsia" ameongeza OCD Leah Ncheyeki.

Sambamba na hilo, Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya Bw. Bennezeth Bwikizo ametumia fursa hiyo kutoa elimu kupinga ukatili kwa wadau na nini cha kufanya waonapo viashiria vya matendo ya ukatili kwenye jamii, amesema inatakiwa ifike mahali Ngorongoro iwe sehemu salama ya kuishi pasipo kuwepo na kesi za ukatili wa aina yoyote.

"Niwaombe wadau wote tushirikiane, ikiwa utaona tukio au tendo lolote linaloashiria ukatili toa taarifa kwenye mamlaka husika ili lifanyiwe kazi mapema na haraka ili kuilinda jamii kwa kufanya hivyo utakua umekataa ukatili kwa nafasi yako na mwisho tutakua na jamii salama".Amesema Bw. Bennezeth.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA WAFANYAKAZI HALMASAHURI YA WILAYA YA NGORONGORO LIMEPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI 2026/2027.

    February 13, 2026
  • UFUATILIAJI WA KINA KUFANYIKA KUBORESHA AFYA KWA WATOTO WENYE CHANGAMOTO YA LISHE.

    February 10, 2026
  • SERIKALI YATOA FEDHA BILIONI 19. 513 KUPELEKA UMEME KWENYE VITONGOJI 127 ARUSHA.

    February 04, 2026
  • SIKU YA SHERIA YAADHIMISHWA WILAYANI NGORONGORO.

    February 02, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/-2026
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.