• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

ZIARA YA WAZIRI MKUU MHE.KASSIM MAJALIWA LOLIONDO

Posted on: February 15th, 2022

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa amewataka wananchi wa Wilaya ya Ngorongoro kutokuwa na hofu ya kuondolewa katika maeneo ya hifadhi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani na wadau wa hifadhi wilayani Ngorongoro.

Lengo kubwa la kikao hicho ni kuona namna bora ya kutunza uhifadhi wa misitu na wanyama katika eneo hilo.

Mhe. Majaliwa amewataka wananchi wa Ngorongoro kupuuzia maneno yanayozungumzwa mitaa kwani hayana ukweli wowote wa kuondoa wananchi katika maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro na pori tengefu.

Akisisitiza zaidi Mhe Mjaliwa amesema Serikali haiwezi kuonea mtu yoyote kwani watu wote niwatanzania na wala haibagui kabila na hata dini.


Wajibu wa Serikali ni kusikiliza changamoto za wananchi na kuzitatua kwani ipo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi.

Msisitizo wa Serikali nikuona namna ya kuhifadhi tunu za wanyama na misitu kwa kuzitunza na mslahi mapana ya nchi.

Nae, mbunge wa wilaya ya Ngorongoro Emmanuel Shangai amesema wananchi wa wilaya hiyo wapo tayari kufanya mazungumzo na Serikali ili kufikia Suluhu ya migogoro hiyo.

Kiongozi wa kimila ( Laigwanani) bwana Joel Kremesi akizungumza kwa niaba ya wananchi wa wilaya hiyo amemshukuru Waziri Mkuu kwa kutambua kuwa wananchi hao niwahifadhi wazuri wa wanyama na misitu.

Bwana Kremesi amesema wao wapo tayari kujadili hatua zitakazochukuliwa katika kuhakikisha maamuzi yanapatikana kwa pande zote mbili kushiriki kikamilifu.

Mhe.Waziri Mkuu amefanya kikao hicho na wadau wa hifadhi ikiwa ni kutekeleza maelekezo yaliyotolewa na Mhe.Rais Samia Suluhu yakukutana na wadau hao na kutafuta muafaka.

Kikao hicho kilijumuisha viongozi mbalimbali wakiwemo mawaziri, Naibu mawaziri, makatibu wakuu, viongozi wa chama, viongozi wa dini, viongozi wa kimila, madiwani na wenyeviti wa Wilaya hiyo ya Ngorongoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA ΜΑΡΑΤΟ ΝA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • NGORONGORO YANG'ARA MASHINDANO YA RIADHA UMITASHUMTA MKOA 2025.

    June 03, 2025
  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI CHANJO NA DAWA KINGA ZA MAGOJWA YA MINYOO NA TRAKOMA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO.

    May 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOTEKELEZWA NA SERIKALI WILAYANI NGORONGORO

    May 16, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.